Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Waziri wa Kilimo, Profesa Adolf Mkenda, amewataka Wanaushirika kurejesha hadhi na heshima ya Ushirika nchini.

SERIKALI YADHAMIRIA KUEREJESHA HESHIMA NA HADHI YA USHIRIKA NCHINI. Dodoma, 06/01/2021 Waziri wa Kilimo, Profesa Adolf Mkenda, amewataka Wanaushirika kurejesha hadhi na heshima ya Ushirika nchini kwa kujenga…

Soma Zaidi
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Kusaya akimkabidhi Kompyuta Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika, Dkt. Benson Ndiege

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Kusaya akimkabidhi Kompyuta Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika, Dkt. Benson Ndiege.

COOPERATIVE DEVELOPMENT COMMISSION HAS BEEN DELIVERED TO 50 KUMMUTA BY CRDB BANK   The Tanzania Cooperative Development Commission (TCDC) has been handed over 50 computers by CRDB Bank for accelerating…

Soma Zaidi

Serikali imedhamiria kuimarisha benki ya Ushirika nchini

Serikali imedhamiria kuimarisha benki ya Ushirika nchini   Serikali ya Awamu ya Tano imedhamiria kuimarisha Benki ya Ushirika Kilimanjaro (Kilimanjaro Cooperative Bank Ltd – KCBL) kwa lengo la…

Soma Zaidi

Tangazo la nafasi za mafunzo kwa vitendo mahali pa kazi (internship) kwa mwaka 2020/2021 katika sekta ya ushirika

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu (OWM-KVAU) inatekeleza Programu ya Work Readiness Employability Skills…

Soma Zaidi

Salamu za Pongezi

Tume ya Maendelo ya Ushirika Tanzania (TCDC) inapenda kumpongeza Rais, Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli na Makamu wa Rais. Mhe.Samia Suluhu Hassan.

Soma Zaidi

Wanawake wahamasishwa nafasi za uongozi wa Ushirika

Wanawake wahamasishwa nafasi za uongozi wa Ushirika Wanawake wamepewa wito wa kushiriki katika nafasi za uongozi katika Vyama vya Ushirika hususani Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS) nchini pindi nafasi…

Soma Zaidi

Mkuu wa Wilaya ya Newala, Mh.Aziza Mangosongo ametoa wito kwa Viongozi na Watendaji wa Ushirika

DC ASHAURI MIKAKATI YA KUIMARISHA NA KUENDELEZA USHIRIKA Mkuu wa Wilaya ya Newala Mkoani Mtwara Mhe. Aziza Mangosongo ametoa wito kwa Viongozi na Watendaji wa Ushirika kushirikiana katika kuhakikisha kuwa…

Soma Zaidi