Habari na Matukio

Hakikisheni Wakulima Wa Kahawa Wanapata Bei Nzuri Kupitia Ushirika - Naibu Waziri Bashe

Naibu Waziri wa Kilimo, Mheshimiwa Hussein Bashe, amesema kuwa Serikali imedhamiria kuhakikisha kuwa Mkulima wa Kahawa  anapata bei nzuri itakayomnufaisha kupitia mfumo wa Ushirika. Bei ambayo itakuwa ni…

Soma Zaidi

Sera ya Ushirika Msingi wa Mabadiliko Chanya ya Sekta ya Ushirika

Mkurugenzi wa Mipango Ufuatiliaji na Tathmini wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) Bw. Buji Bampebuye amesema wadau wote wa Ushirika wakitekeleza majukumu yao ya Kiushirika kupitia dira na mwelekeo wa Sera…

Soma Zaidi

Hakikisheni Kila Mkulima Anakuwa Na Akaunti Benki

Naibu Waziri wa Kilimo, Mheshimiwa Hussein Bashe amewataka viongozi wa Vyama Vikuu vya Ushirika na Miradi ya Pamoja kuhakikisha kuwa wakulima watakaouza mazao yao kupitia Vyama vya Ushirika wanakuwa na Akaunti…

Soma Zaidi