Habari na Matangazo

Tangazo la nafasi za mafunzo kwa vitendo mahali pa kazi (internship) kwa mwaka 2020/2021 katika sekta ya ushirika

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu (OWM-KVAU) inatekeleza Programu ya Work Readiness Employability Skills…

Soma Zaidi

Salamu za Pongezi

Tume ya Maendelo ya Ushirika Tanzania (TCDC) inapenda kumpongeza Rais, Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli na Makamu wa Rais. Mhe.Samia Suluhu Hassan.

Soma Zaidi

Wanawake wahamasishwa nafasi za uongozi wa Ushirika

Wanawake wahamasishwa nafasi za uongozi wa Ushirika Wanawake wamepewa wito wa kushiriki katika nafasi za uongozi katika Vyama vya Ushirika hususani Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS) nchini pindi nafasi…

Soma Zaidi

Viwanda vya Ushirika Kahama na Chato vyazinduliwa

Naibu Waziri wa Kilimo, Mheshimiwa Husein Bashe amefungua viwanda vya kuchakata Pamba (ginnery) vya Chama Kikuu cha Ushirika katika wilaya ya Chato (CCU) cha mkoani Geita na Chama Kikuu cha Ushirika katika…

Soma Zaidi

Mkuu wa Wilaya ya Newala, Mh.Aziza Mangosongo ametoa wito kwa Viongozi na Watendaji wa Ushirika

DC ASHAURI MIKAKATI YA KUIMARISHA NA KUENDELEZA USHIRIKA Mkuu wa Wilaya ya Newala Mkoani Mtwara Mhe. Aziza Mangosongo ametoa wito kwa Viongozi na Watendaji wa Ushirika kushirikiana katika kuhakikisha kuwa…

Soma Zaidi
Dr.Benson O.Ndiege

Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania amefuta jumla ya Vyama 3,317.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania, Dr. Benson O. Ndiege amefuta jumla ya Vyama vya Ushirika 3,317 kwa kushindwa kutimiza masharti ya Usajili wa Vyama hivyo. Tangazo la kufuta…

Soma Zaidi

Serikali kuimarisha na kuendeleza Ushirika

Serikali ina mkakati wa kuendeleza na kuimarisha Ushirika kwa kuanzisha na kufufua viwanda ili kuongeza thamani ya bidhaa zinazozalishwa Wanaushirika, ambapo Serikali imedhamiria kuona kwamba Vyama vya…

Soma Zaidi

Makamu wa Rais ahimiza matumizi ya stakabadhi za ghala

Makamu wa Rais, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa wakulima wa mazao mbalimbali nchini kuongeza matumizi ya Mfumo wa Ushirika kwa kutumia Stakabadhi za Ghala ili kupata uhakika wa masoko na bei…

Soma Zaidi